Chitaki

(It’s S2kizzy beiby) We ndo kitumbua We ndio sambusa Basi njoo unichumu baby Ndo tuseme umesusa We ndo mwisho wa reli Kwako nimeweka nukta Walokuambia nala Zuchu Sio kweli wanazusha Wanaokaa vikao sisi kutujudge Wape pole yao wanatwanga maji Na waongeze bidii kwenye urogaji Tuko Ten GB penzi full charge Fanya wainamaaa, wainuka Kiguu kinyanyue kama unatupa Yaani wainamaaa, wainuka Kiguu kinyanyue kisha eka nukta Mi kuachana na wewe Aku, chitaki chitaki Chitaki chitaki Chitaki chitaki mi Kuachana na wewe Chitaki chitaki Chitaki chitaki Chitaki chitaki mi Mchana nikupe tango usiku ndizi swadakta Tuanze fanya mambo, kabla umeme hawajakata Mapenzi mwenzie kiwango na umejaaliwa talanta Na unanijua kwa jambo hatoki mtu kwa mkapa Ee aah! Amuli chichichi, Amuli chachachacha Kamoyo tititi nimeozaje sasa Amuli chichichi, Amuli chachachacha Kamoyo tititi nakuachaje sasa Wanaokaa vikao sisi kutujudge Wape pole yao wanatwanga maji Na waongeze bidii kwenye urogaji Tuko Ten GB penzi full charge Fanya wainamaaa, wainuka Kiguu kinyanyue kama unatupa Yaani wainamaaa, wainuka Kiguu kinyanyue kisha eka nukta Mi kuachana na wewe Aku, chitaki chitaki Chitaki chitaki Chitaki chitaki mi Kuachana na wewe Chitaki chitaki Chitaki chitaki Chitaki chitaki mi